Biblia

Takatifu ya Kiswahili

5.6.5 от ⭐ Wiktoria Goroch ⭐
13/02/2020 Старые Версии

Введение Biblia

Библия на языке суахили - суахили Библии

Biblia Takatifu ya Kiswahili - Swahili Bible

Biblia ya Kikristo ni mkusanyo wa maandiko matakatifu ya Ukristo. Maandiko hayo mbalimbali yanaitwa tangu zamani sana "vitabu" tu, inavyomaanishwa na neno "biblia" ambalo ni uwingi wa neno la Kigiriki "biblos" yaani "kitabu".

Hutofautishwa na Tanakh ambayo ndiyo maandiko matakatifu ya dini ya Uyahudi na ambayo pengine inatajwa kwa jina lilelile la "Biblia", hasa katika matoleo ya Biblia ya Kiebrania . Vitabu vyake vimo katika sehemu ya kwanza ya Biblia ya Kikristo kwa jina la "Agano la Kale".

Biblia ya Kikristo hugawiwa sehemu mbili ambayo ni Agano la Kale na Agano Jipya. Agano la Kale lina maandiko yaliyoandikwa kabla ya Yesu Kristo na vitabu vya Agano Jipya viliandikwa baada yake.

Что нового в последней версии 5.6.5

Last updated on 13/02/2020
sisi imesababisha shambulio, utendaji bora na kuongezea baadhi ya vipengele

Дополнительная информация о Приложения

Последняя версия

5.6.5

Загрузил

Huy Hoàng

Требуемая версия Android

Android 4.1+

Жаловаться

Сообщить о неприемлемом содержании

Ещё

Используйте приложение APKPure

Историческую версию Biblia можно получить на Android

Скачать

Используйте приложение APKPure

Историческую версию Biblia можно получить на Android

Скачать

Альтернатива Biblia

Больше от ⭐ Wiktoria Goroch ⭐

Рекомендуем